Skip to main content

UJINGA WA HISIA ZA MIILI YETU





Ujinga wa hisia za miili yetu umepelekea kushindwa kutambua thamani ya miili yetu na kutawaliwa na tamaa za ngono. Tamaa za ngono zimepelekea kuyakubali madhara lukuki ya njia za kisasa za uzazi wa mpango (vithibiti mimba)

Kutokana na kutokujitambua na kukubali kutawaliwa na hisia za miili yetu. Tumeishi kuitumikia miili yetu kwenye maswala ya ngono badala ya miili yetu kututumikia sisi kwenye maswala ya upendo, ndio maana mataifa ya magharibi (kupitia sera zao za mambo ya nje) yameweza kutupangia hata ustaarabu wa tendo la ndoa na maswala mazima ya uzao. Matumizi ya vithibiti mimba (njia za kisasa za uzazi wa mpango) ni moja wapo tu ya nja zinazotumiwa na mataifa ya magharibi za kuthibiti ongezeko la idadi ya watu duniani na hasa mataifa ya dunia ya tatu. Madhara ya njia hizi ni mengi yanayojulikana ila wamezidi kutusisitiza kutumia. Nasi pasipo kujali ama kufanya tafiti za kutosha, tumekuwa wepesi kuzitumia kwasababu tu zinarahisisha ufanywaji wa tendo la ndoa wakati wowote na kwa mtu yeyote.

“Despite what the world teaches, nobody has died from not having sex. Rather millions have died from having too much sex. (by Brian Clowes )

Napata ujasiri kusema wanaotumia njia hizi ni wauwaji wa watoto wao wenyewe kwani njia hizi zina madhara mengi sana na baadhi hutoa mimba changa (they allow fertilization but hinder implantation) Ni wito wangu kwa jamii hii ya wasomi tusimame kulinda afya zetu na za watoto wetu yaani kizazi kijacho cha taifa letu.

 Remember that each human life born or unborn, is sacred, unique and precious in the eyes of God, So don’t do anything to harm another person or pressure or support anyone in killing of unborn child
Uhai ni zawadi tuulinde”  
By Gabriel Saudari
Monday, 28 May 2018

Comments

popular posts

MIPANGO STUDENT ORGANIZATION

Students of Institute of Rural Development Planning have their own Organization known as Mipango Students Organization (MISO). This accepts every Tanzanian student who is registered with the Institute to become its member and conducts its election every year. Right and Privileges are granted to all members. All correspondence in connection with MISO should be addressed to:- The Secretary General,  MISO, IRDP, P. O. BOX 138, Dodoma, Tanzania E-mail:     miso@irdp.ac.tz

INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT PLANNING (IRDP) PROSPECTUS ACADEMIC YEAR 2017/2018

https://www.irdp.ac.tz/documents/irdp%20prospectus%202017-18.pdf

INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT PLANNING – DODOMA SUPPLEMENTARY AND SPECIAL EXAMINATIONS TIME TABLE SPTEMBER 2016 - 2017

INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT PLANNING DODOMA TIME TABLE FOR SUPPLEMENTARY AND SPECIAL EXAMINATIONS FOR CERTIFICATES, DIPLOMA, BACHELORS DEGREE, POSTGRADUATE DIPLOMA AND MASTERS DEGREE 2016/2017 ACADEMIC YEAR (11 ST SEPTEMBER- 22 ND SEPTEMBER, 2017) bonyeza link hii kushusha ratiba http://www.irdp.ac.tz/images/media/Dodoma/2017/supplementary%20and%20special%20examinations%20time%20table%20september%202017-modified.pdf